Quantcast
Channel: TAMWA - TAMWA - PRESS RELEASE
Browsing all 40 articles
Browse latest View live

TAMWA YAPONGEZA UONGOZI WA AWAMU YA TANO

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kinapongeza uongozi mpya ulioapishwa Novemba 5, 2015 chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kuongoza Jamhuri ya...

View Article


TAMWA KUKUTANA NA WADAU KUJADILI MAPENDEKEZO BAADA YA KONGAMANO LA NCHI ZA...

   Chama cha Wanahabari Wanawake – TAMWA  kwa kushirikiana na Ubalozi wa Canada hapa nchini,  leo Ijumaa tarehe 29 Januari, 2016 saa  08:00 asubuhi kitafanya mkutano wa siku moja kujadili yaliyojiri...

View Article


VYOMBO VYA HABARI VILIVYOMINYA SAUTI ZA WANAWAKE WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

Uchaguzi mkuu wa Tanzania uliofanyika Mwaka 2015 ulionyesha kuwa wanawake walikosa nafasi kwenye vyombo vya habari. Kutokana na ufuatiliaji wa habari za magazeti sita uliofanywa katikati ya Septemba na...

View Article

GENDER GAP IN MEDIA ELECTION COVERAGE

In 2015 Tanzania election, women were under-represented in media. In analysis of one month of all stories from six newspapers monitored between mid-September and late October last year TAMWA found...

View Article

TAMWA YASIKITISHWA KESI ZA UBAKAJI /ULAWITI KWA WATOTO KUTO HUKUMIWA

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini- TAMWA kinalaani vikali ucheleweshwaji na upotoshwaji ushahidi wa kesi za vitendo vya ukatili wa kijinsia hasa za ubakaji na ulawiti katika ngazi ya mahakama,...

View Article


FGM AND CHILD MARRIAGE STILL A PROBLEM IN TANZANIA

Journalistic survey conducted recently revealed that that FGM and Child marriage are still practiced in many parts of Tanzania despite efforts made by the government and NGO’s alley situation. In...

View Article

UKEKETAJI NA NDOA ZA UTOTONI BADO NI TATIZO NCHINI

Utafiti umebaini kuwa ukeketaji na ndoa za  utotoni bado unaendelea nchini licha ya juhudi zinazofanywa na taasisi mbalimbali za haki za binadamu zikishirikiana na kiserikali .   Novemba mwaka 2015,...

View Article

TAMWA YAMLILIA MWANACHAMA WAKE, SARAH DUMBA

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania –TAMWA kimepokea kwa masikitiko msiba wa mwanachama wake na mwanahabari mahiri, mkongwe Sarah Dumba ambaye amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa...

View Article


TAMWA KUFANYA MAFUNZO YA KAMATI ZA UKATILI WA KIJINSIA NA WAANDISHI WA HABARI

Chama cha Wanahabari Wanawake TAMWA, kimeandaa mafunzo ya siku mbili yatakayofanyika kuanzia leo tarehe 13 na 14 Aprili, 2016 yenye lengo la kuwajengea uwezo waandishi wa habari na kamati...

View Article


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KULAANI UKATILI DHIDI YA WANAWAKE UNAOKITHIRI...

Ndugu Wanahabari,  Taasisi zinazotetea haki za Wanawake na watoto nchini, tunalaani vikali ukatilii dhidi ya wanawake unaondelea kukithiri nchini.  Tukio la udhalilishaji wa Kijinsia kwa mwanamke mmoja...

View Article

TAMWA: SHERIA NA KANUNI ZA USALAMA BARARANI ZIREKEBISHWE ILI ZIWALINDA...

Chama cha Wanahabari wanawake Tanzania -TAMWA kinaungana na Watanzania katika maadhimisho ya wiki ya usalama barabarani ambayo yataanza tarehe 26/09 na kufikia kilele tarehe 01/10. TAMWA inawaasa wadau...

View Article

TAMWA CALLS FOR AMENDMENT OF TRAFFIC LAWS AND REGULATIONS TO SAVE WOMEN AND...

On the occasion of Road Safety Week (26/09 – 01/10/2016) TAMWA joins with all Tanzanians and road safety stake holders to call for government reforms of the road safety legal and policy environment in...

View Article

SIKU YA KIMATAIFA KUWAKUMBUKA WAHANGA WA AJALI ZA BARABARANI 20 NOVEMBA, 2016.

Matukio ya ajali za barabarani yamekuwa na athari nyingi hapa nchini kiuchumi na kijamii. Vilevile matukio haya ya ajali za barabarani yamekuwa yakiwasababishia wananchi madhara makubwa yakiwemo...

View Article


TAMWA YAZINDUA MATOKEO YA TATHMINI YA MWISHO KWA MRADI ULIOTEKELEZWA...

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania – TAMWA kimefanya tathmini kuchunguza matumizi ya pombe, madhara, upatikanaji wake pamoja na uelewa wa jamii za kata za Makumbusho, Saranga na Wazo Hill wilayani...

View Article

TAMWA YAUNGANA NA WADAU KUADHIMISHA SIKU YA UKEKETAJI DUNIANI

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini – TAMWA kinaungana na mashirika mengine yanayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na kutetea haki za binadamu leo tarehe 6 Februari, 2017, kuadhimisha siku ya...

View Article


Wadau wa Uchaguzi Mkuu 2015 Mkoani Arusha Wataka Vyombo vya Habari Kuripoti...

Wadau wa Uchaguzi Mkuu 2015 mkoani Arusha wamevitaka vyombo vya habari kuripoti zaidi masuala ya watangaza nia au wagombea wanawake katika chaguzi zijazo nchini. Wadau waliohudhuria warsha ya kujadili...

View Article

Arusha Stakeholders for 2015 General Elections Urge Media to Cover More Women...

Arusha Stakeholders of 2015 General Elections have urged media to increase their reporting of women aspirants/candidates in the future elections. The stakeholders attending workshop to disseminate...

View Article


Wadau wa Uchaguzi 2015 Mkoani Iringa Wasema Makundi Maalum Hayakuwa...

Wadau wa Uchaguzi Mkuu wa 2015 mkoani Iringa wamesema kuwa vyombo vya habari vilishindwa kuripoti habari za kutosha kutoka makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wakati wa uchaguzi...

View Article

Iringa Stakeholders for 2015 General Elections Say Marginalized Groups were...

Iringa Stakeholders of 2015 General Elections have said that media failed to report enough stories from women, youths and people living with disabilities during the 2015 general elections. They...

View Article

TAMWA YAAZIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini – TAMWA kinaungana na mashirika yanayotetea haki za binadamu hasa wanawake na watoto ulimwenguni kusherekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa tarehe 8...

View Article
Browsing all 40 articles
Browse latest View live